Swali: Je, Malaika wanaitikia salamu ikiwa mtu hakuitikia salamu?
Jibu: Hili limo ndani ya Hadiyth, unatoa salamu kwa yule uliyemkusudia. Ama ikiwa wako ndani ya nyumba na wakasikia, dhahiri ni kwamba wanaitikia.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27668/هل-ترد-الملاىكة-السلام-اذا-ما-رد-الانسان
- Imechapishwa: 17/04/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)