Swali: Mtu anayesikiliza kanda ya Qur-aan ndani ya gari, muhadhara au darsa – je, hufunikwa na Malaika?
Jibu: Hapana shaka yoyote kwamba hilo ni miongoni mwa kumtaja Allaah. Kanda ambayo ndani yake kuna kulingania kwa Allaah, mafunzo na miongozo ambayo anaisikiliza, au msomaji anayesoma na yeye akamsikiliza, hayo yote ni katika kumtaja Allaah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31189/هل-تحف-الملاىكة-من-يستمع-الى-القران-والعلم
- Imechapishwa: 11/10/2025
Swali: Mtu anayesikiliza kanda ya Qur-aan ndani ya gari, muhadhara au darsa – je, hufunikwa na Malaika?
Jibu: Hapana shaka yoyote kwamba hilo ni miongoni mwa kumtaja Allaah. Kanda ambayo ndani yake kuna kulingania kwa Allaah, mafunzo na miongozo ambayo anaisikiliza, au msomaji anayesoma na yeye akamsikiliza, hayo yote ni katika kumtaja Allaah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31189/هل-تحف-الملاىكة-من-يستمع-الى-القران-والعلم
Imechapishwa: 11/10/2025
https://firqatunnajia.com/je-malaika-humfunika-ambaye-anasikiliza-qur-aan-au-darsa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
