Swali: Je, Malaika wanarekodi matendo ya moyo kwa maana yale mawazo ya moyo?
Jibu: Mawazo ya ghafla yasiyothibiti dhahiri ni kwamba hayarekodiwi, kinachorekodiwa ni kile kitendo kinachothibiti. Ni mamoja iwe kitendo au maneno.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27969/هل-تسجل-الملاىكة-خطرات-القلب
- Imechapishwa: 17/04/2025
Swali: Je, Malaika wanarekodi matendo ya moyo kwa maana yale mawazo ya moyo?
Jibu: Mawazo ya ghafla yasiyothibiti dhahiri ni kwamba hayarekodiwi, kinachorekodiwa ni kile kitendo kinachothibiti. Ni mamoja iwe kitendo au maneno.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27969/هل-تسجل-الملاىكة-خطرات-القلب
Imechapishwa: 17/04/2025
https://firqatunnajia.com/je-malaika-huandikia-mawazo-ya-moyo/