Je, kunyoa ndevu ni katika sifa za kike?

Swali: Je, kunyoa ndevu ni katika sifa za kike?

Jibu: Kunaweza kujumuishwa na sifa hiyo. Hata jambo lake ni maalum. Kunyoa ndevu ni haramu kabisa hata kama mwanaume hakukusudia sifa za kike. Ni haramu kwake kabisa kuzinyoa. Akikusudia sifa za kike inakuwa shari juu ya shari nyingine.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23914/هل-حلق-اللحية-من-التخنث
  • Imechapishwa: 31/05/2024