Swali: Je, kunaswaliwa ndani ya misikiti ambayo ndani yake ina makaburi?
Jibu: Msikiti ulio na kaburi hakuswaliwi ndani yake, kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) amewalaani mayahudi na manaswara wameyafanya makaburi ya Manabii wao kuwa misikiti.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (29/233)
- Imechapishwa: 01/03/2026
Swali: Je, kunaswaliwa ndani ya misikiti ambayo ndani yake ina makaburi?
Jibu: Msikiti ulio na kaburi hakuswaliwi ndani yake, kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) amewalaani mayahudi na manaswara wameyafanya makaburi ya Manabii wao kuwa misikiti.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (29/233)
Imechapishwa: 01/03/2026
https://firqatunnajia.com/je-kunaswaliwa-ndani-ya-misikiti-ambayo-ndani-yake-ina-makaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket