Swali: Je, kuna tofauti kati ya shirki na kufuru?
Jibu: Ndio, kufuru ni yenye kuenea zaidi kuliko shirki. Kafiri anaweza kuwa mwenye kumkanusha Mola (Subhaanahu wa Ta´ala). Si mwenye kumuamini Mola kama mfano wa Fir´awn, Mu´attwilah na Dahriyyah. Kuhusu mshirikina ni mwenye kumuamini Mola. Lakini hata hivyo anashirikisha pamoja Naye wengine. Kati ya shirki na kufuru kuna mambo yenye kuenea na mambo maalum.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 32
- Imechapishwa: 11/05/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
Related
Tofauti kati ya kufuru na shirki?
Swali: Kuna tofauti kati ya kufuru na shirki? Jibu: Kufuru imeenea zaidi kuliko shirki. Kila mshirikina ni kafiri na sio kila kafiri ni mshirikina. Kafiri huyu anaweza kuwa mkanamungu na hatambui uwepo wa Mola kabisa. Kuhusu mshirikina anatambua uwepo wa Mola pamoja na kuwa anamshirikisha Yeye pamoja na wengine.
In "Kufuru na aina zake"
49. Kufuru ndio shirki, shirki ndio kufuru
Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema: 79 - Sisi tunayaamini yote hayo. 80 - Hatufarikishi kati ya yeyote katika Mitume Wake. Tunawasadikisha wote kwa yale waliyokuja nayo. 81 - Watenda madhambi makubwa [wa ummah wa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)][1] hawatodumishwa Motoni milele pale watapokufa hali ya kuwa ni…
In "Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah – al-Albaaniy"
Haya ni maneno yanayosemwa na mtu asiyejua analolisema
Swali: Kuna wenye kusema kuwa yule anayeomba kaburi na kuwaita watu kwalo haitwi kuwa ni mshirikina, bali mtu anasema kuwa amefanya Shirki. Je, maneno haya ni sahihi kama jinsi yalivo? Jibu: Hapana. Huyu ndio mshirkina. Mtu anasema kuwa amefanya Shirki na ni mshirikina. Hakuna tofauti kati yake. Hakuna tofauti kati…
In "Kufuru na aina zake"