Swali: Je, kuna tofauti kati ya shirki na kufuru?
Jibu: Ndio, kufuru ni yenye kuenea zaidi kuliko shirki. Kafiri anaweza kuwa mwenye kumkanusha Mola (Subhaanahu wa Ta´ala). Si mwenye kumuamini Mola kama mfano wa Fir´awn, Mu´attwilah na Dahriyyah. Kuhusu mshirikina ni mwenye kumuamini Mola. Lakini hata hivyo anashirikisha pamoja Naye wengine. Kati ya shirki na kufuru kuna mambo yenye kuenea na mambo maalum.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 32
- Imechapishwa: 11/05/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket