Swali: Nyuradi za wakati wake si zinatangulizwa mbele ya Qur-aan?
Jibu: Hakuna kikwazo. Bora zaidi ni kila kitu kukifanya ndani ya wakati wake. Lau utasoma Qur-aan ndani ya Rukuu´ umekatazwa kufanya hivo. Vivyo hivyo ndani ya Sujuud na baina ya Sujuud mbili. Qur-aan inasomwa mahala pake na Adhkaar mahala pake. Ni bora kila kitu kifanywe mahali pake. Hata hivyo hakuna ubishi ya kwamba ndio mazungumzo bora kabisa. Tukisema kwamba Qur-aan ndio mazungumzo bora kabisa haipelekei kwamba isomwe kwenye Sujuud, Rukuu´ na maeneo mengine ambayo sio ya kisomo. Kila ´ibaadah inafanywa mahala pake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24459/هل-تفضل-التلاوة-على-الاذكار-في-كل-وقت
- Imechapishwa: 16/10/2024
Swali: Nyuradi za wakati wake si zinatangulizwa mbele ya Qur-aan?
Jibu: Hakuna kikwazo. Bora zaidi ni kila kitu kukifanya ndani ya wakati wake. Lau utasoma Qur-aan ndani ya Rukuu´ umekatazwa kufanya hivo. Vivyo hivyo ndani ya Sujuud na baina ya Sujuud mbili. Qur-aan inasomwa mahala pake na Adhkaar mahala pake. Ni bora kila kitu kifanywe mahali pake. Hata hivyo hakuna ubishi ya kwamba ndio mazungumzo bora kabisa. Tukisema kwamba Qur-aan ndio mazungumzo bora kabisa haipelekei kwamba isomwe kwenye Sujuud, Rukuu´ na maeneo mengine ambayo sio ya kisomo. Kila ´ibaadah inafanywa mahala pake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24459/هل-تفضل-التلاوة-على-الاذكار-في-كل-وقت
Imechapishwa: 16/10/2024
https://firqatunnajia.com/je-kisomo-cha-qur-aan-ni-bora-zaidi-kuliko-adhkaar-katika-kila-wakati/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)