Swali: Hafai kabisa kuwafanyia ukali wazazi wakati wa kuwakosoa?
Jibu: Hapana, kwa upole. Allaah amesema kuhusu wazazi makafiri:
وَصَاحِبْهُمَا فِي الدُّنْيَا مَعْرُوفًا
”Lakini suhubiana nao kwa wema duniani.”[1]
Vilevile amesema juu yao:
فَلَا تَقُل لَّهُمَا أُفٍّ وَلَا تَنْهَرْهُمَا وَقُل لَّهُمَا قَوْلًا كَرِيمًا
“… basi usiwaambie ´Ah` na wala usiwakemee na waambie maneno ya heshima.”[2]
[1] 31:15
[2] 17:23
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28763/هل-يجوز-التعنيف-في-الانكار-على-الوالدين
- Imechapishwa: 24/04/2025
Swali: Hafai kabisa kuwafanyia ukali wazazi wakati wa kuwakosoa?
Jibu: Hapana, kwa upole. Allaah amesema kuhusu wazazi makafiri:
وَصَاحِبْهُمَا فِي الدُّنْيَا مَعْرُوفًا
”Lakini suhubiana nao kwa wema duniani.”[1]
Vilevile amesema juu yao:
فَلَا تَقُل لَّهُمَا أُفٍّ وَلَا تَنْهَرْهُمَا وَقُل لَّهُمَا قَوْلًا كَرِيمًا
“… basi usiwaambie ´Ah` na wala usiwakemee na waambie maneno ya heshima.”[2]
[1] 31:15
[2] 17:23
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28763/هل-يجوز-التعنيف-في-الانكار-على-الوالدين
Imechapishwa: 24/04/2025
https://firqatunnajia.com/je-inafaa-kuwakaripia-wazazi-wakati-wa-kuwakosoa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket