Swali: Mtu akisema kwamba sababu ya kuchelewesha swalah kwa ajili ya kupoa kwa joto ni kutokana na joto kali na sasa kuna viyoyozi vinavyondoa sababu hiyo?
Jibu: Haijalishi kitu. Sunnah haiwezi kubatilishwa, kwa sababu barabara hazina viyoyozi, barabara zina joto na hazina viyoyozi. Jengine ni kwamba si kila nchi ina viyoyozi.
Swali: Je, swalah inaweza kucheleweshwa zaidi kwa sababu joto linaweza kuendelea?
Jibu: Hadi joto lipungue. Baada ya nusu saa au zaidi kidogo, joto hupungua.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27368/هل-يعمل-بالابراد-بالصلاة-مع-وجود-المكيفات
- Imechapishwa: 23/03/2025
Swali: Mtu akisema kwamba sababu ya kuchelewesha swalah kwa ajili ya kupoa kwa joto ni kutokana na joto kali na sasa kuna viyoyozi vinavyondoa sababu hiyo?
Jibu: Haijalishi kitu. Sunnah haiwezi kubatilishwa, kwa sababu barabara hazina viyoyozi, barabara zina joto na hazina viyoyozi. Jengine ni kwamba si kila nchi ina viyoyozi.
Swali: Je, swalah inaweza kucheleweshwa zaidi kwa sababu joto linaweza kuendelea?
Jibu: Hadi joto lipungue. Baada ya nusu saa au zaidi kidogo, joto hupungua.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27368/هل-يعمل-بالابراد-بالصلاة-مع-وجود-المكيفات
Imechapishwa: 23/03/2025
https://firqatunnajia.com/je-hivi-sasa-hakuna-haja-ya-kuchelewesha-dhuhr-kwa-sababu-kuna-viyoyozi-na-mafeni/