Swali: Je, baba anamzuia babu kurithi?
Jibu: Ndio, kwa mujibu wa wanazuoni wote. Ikiwa baba yupo, basi babu hana chochote. Na ikiwa mama yupo, basi bibi hana chochote, kwa mujibu wa wanazuoni wote.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25370/هل-يحجب-الاب-الجد
- Imechapishwa: 08/03/2025
Swali: Je, baba anamzuia babu kurithi?
Jibu: Ndio, kwa mujibu wa wanazuoni wote. Ikiwa baba yupo, basi babu hana chochote. Na ikiwa mama yupo, basi bibi hana chochote, kwa mujibu wa wanazuoni wote.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25370/هل-يحجب-الاب-الجد
Imechapishwa: 08/03/2025
https://firqatunnajia.com/je-baba-anamzuia-babu-kurithi/