Mwaka wa 357 kulitokea janga la Maashiriy ambapo watu wengi wakafariki. Wakati huohuo ngamia wengi wa mahujaji wakapatwa na kiu na wakafa njiani. Ni wachache mno waliofika Makkah, na wengi waliofika walifariki baada ya hijjah.
- Mhusika: Imam Ismaa´iyl bin Kathiyr ad-Dimashqiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Bidaayah wan-Nihaayah (11/265)
- Imechapishwa: 18/04/2020
Mwaka wa 357 kulitokea janga la Maashiriy ambapo watu wengi wakafariki. Wakati huohuo ngamia wengi wa mahujaji wakapatwa na kiu na wakafa njiani. Ni wachache mno waliofika Makkah, na wengi waliofika walifariki baada ya hijjah.
Mhusika: Imam Ismaa´iyl bin Kathiyr ad-Dimashqiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Bidaayah wan-Nihaayah (11/265)
Imechapishwa: 18/04/2020
https://firqatunnajia.com/janga-msimu-wa-hajj-mwaka-357/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)