Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kuvaa jaketi juu ya Jilbaab yake ikipelekea hiyo kuonyesha viungo vya mwili wake?
Jibu: Haijuzu ikiwa viungo vya mwili wake vinaonekana. Jaketi inatakiwa kuwa chini ya Jilbaab yake. Hakuna ambacho kinaonyesha viungo vya mwili wa mwanamke kinajuzu. Jilbaab na ´Abaa´ah ndivyo vinavyotakiwa kuwa juu. Ni wajibu kwa mwanamke kujisitiri. Kila ambacho kinaonyesha viungo vyake inatakiwa kukiepuka.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=X5FiL0LAORo
- Imechapishwa: 12/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)