Swali: Mtu akitokwa na manii inaharibika I´tikaaf yake?
Jibu: Haibatiliki – Allaah akitaka. Kutokwa na manii kwa sababu ya kufanya mambo ya romantiki kunaharibu ile swawm. Lakini katika hali hii udhahiri ni kwamba I´tikaaf yake haiharibiki, kwa sababu Muhrim ni juu yake jimaa:
وَلَا تُبَاشِرُوهُنَّ وَأَنتُمْ عَاكِفُونَ فِي الْمَسَاجِدِ
“Na wala msichanganyike nao hali ya kuwa nyinyi ni wenye kukaa I’tikaaf misikitini.”[1]
Ni kinaya cha jimaa.
[1] 02:187
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23817/هل-يبطل-اعتكاف-من-خرج-منه-المني
- Imechapishwa: 14/05/2024
Swali: Mtu akitokwa na manii inaharibika I´tikaaf yake?
Jibu: Haibatiliki – Allaah akitaka. Kutokwa na manii kwa sababu ya kufanya mambo ya romantiki kunaharibu ile swawm. Lakini katika hali hii udhahiri ni kwamba I´tikaaf yake haiharibiki, kwa sababu Muhrim ni juu yake jimaa:
وَلَا تُبَاشِرُوهُنَّ وَأَنتُمْ عَاكِفُونَ فِي الْمَسَاجِدِ
“Na wala msichanganyike nao hali ya kuwa nyinyi ni wenye kukaa I’tikaaf misikitini.”[1]
Ni kinaya cha jimaa.
[1] 02:187
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23817/هل-يبطل-اعتكاف-من-خرج-منه-المني
Imechapishwa: 14/05/2024
https://firqatunnajia.com/itikaaf-ya-ambaye-ametokwa-na-manii/