Swali: Ni lini mwenye kukaa I´tikaaf anatoka katika I´tikaaf yake? Je, ni baada ya jua kuzama usiku wa kuamkia ´iyd au ni baada ya alfajiri siku ya ´iyd?
Jibu: Mwenye kukaa I´tikaaf anatoka katika I´tikaaf yake inapoisha Ramadhaan. Ramadhaan inaisha kwa kuzama jua usiku wa kuamkia ´iyd.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (20/170)
- Imechapishwa: 21/06/2017
Swali: Ni lini mwenye kukaa I´tikaaf anatoka katika I´tikaaf yake? Je, ni baada ya jua kuzama usiku wa kuamkia ´iyd au ni baada ya alfajiri siku ya ´iyd?
Jibu: Mwenye kukaa I´tikaaf anatoka katika I´tikaaf yake inapoisha Ramadhaan. Ramadhaan inaisha kwa kuzama jua usiku wa kuamkia ´iyd.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (20/170)
Imechapishwa: 21/06/2017
https://firqatunnajia.com/itikaaf-huisha-lini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)