Inasemekana ya kwamba kila watu wana warithi. Mapote yote yaliyokuwa yakiishi zamani yana warithi leo. Miongoni mwa warithi wa Khawaarij wa zamani leo ni pamoja na ISIS ambao hivi sasa wameasisi mizizi yao Iraaq. Niliandika makala kuhusu wao[1] iliyosomwa na zaidi ya wasomaji 100.000 kwa mwezi mmoja.
[1] Tazama http://www.al-abbaad.com/index.php/articles/125-1435-09-28
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.al-abbaad.com/index.php/articles/127-1435-11-09
- Imechapishwa: 07/11/2016
Inasemekana ya kwamba kila watu wana warithi. Mapote yote yaliyokuwa yakiishi zamani yana warithi leo. Miongoni mwa warithi wa Khawaarij wa zamani leo ni pamoja na ISIS ambao hivi sasa wameasisi mizizi yao Iraaq. Niliandika makala kuhusu wao[1] iliyosomwa na zaidi ya wasomaji 100.000 kwa mwezi mmoja.
[1] Tazama http://www.al-abbaad.com/index.php/articles/125-1435-09-28
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.al-abbaad.com/index.php/articles/127-1435-11-09
Imechapishwa: 07/11/2016
https://firqatunnajia.com/isis-ndio-warithi-wa-khawaarij-wa-zamani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)