Tuseme nini kuhusu watu hawa ambao wamelipua misikiti? Wamewaua wanawake, wamewaua watoto. Haya hayakutokea hata hapo zamani. Wanawaamrisha baadhi ya watu kujichimbia makaburi yao wenyewe. Wanawachoma moto na huku wengine wanatazama. Ni kama kwamba wamesoma madaftari ya namna ya kuadhibu.
Hawa bila shaka ndio wamesababisha yale yanayoitwa hii leo Uislamu wenye kukhofisha. Bi maana kuwa na khofu juu ya Uislamu. Haya ni mambo yaliyoenezwa na wamagharibi katika vyombo vyao vya khabari. Wameyasambaza kwenye magazeti yao wakiweka picha za ISIS ambapo wanachinja na kukata vichwa vya watu.
- Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=Llc812dulFE&feature=youtu.be
- Imechapishwa: 23/05/2019
Tuseme nini kuhusu watu hawa ambao wamelipua misikiti? Wamewaua wanawake, wamewaua watoto. Haya hayakutokea hata hapo zamani. Wanawaamrisha baadhi ya watu kujichimbia makaburi yao wenyewe. Wanawachoma moto na huku wengine wanatazama. Ni kama kwamba wamesoma madaftari ya namna ya kuadhibu.
Hawa bila shaka ndio wamesababisha yale yanayoitwa hii leo Uislamu wenye kukhofisha. Bi maana kuwa na khofu juu ya Uislamu. Haya ni mambo yaliyoenezwa na wamagharibi katika vyombo vyao vya khabari. Wameyasambaza kwenye magazeti yao wakiweka picha za ISIS ambapo wanachinja na kukata vichwa vya watu.
Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=Llc812dulFE&feature=youtu.be
Imechapishwa: 23/05/2019
https://firqatunnajia.com/isis-ndio-wamesababisha-islamophobia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)