Swali: Je, kuna Ijraa´ yenye kusifiwa na yenye kusimangwa?
Jibu: Hapana. Irjaa´ zote ni zenye kusemwa vibaya. Murji-ah ni kundi. Baadhi yao ni wabaya zaidi kuliko wengine. Wabaya zaidi ni Jahmiyyah. Walio na Irjaa´ mbaya zaidi ni Jahmiyyah na walio na Irjaa´ nyepesi ni Murji-ah al-Fuqahaa´ katika Hanafiyyah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (63) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13810
- Imechapishwa: 16/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)