Swali: Mgongoni mwangu kuna sehemu kiasi cha shibiri ambapo mkono wangu haufiki ili niweze kupaosha. Je, nifanya Tayammum wakati wa kuoga janaba?
Jibu: Ikiwa huwezi kupangusa basi unaweza kupamwagia maji sehemu hii na inatosha. Midhali utapamwagia maji kama vile unavyomwagia mgongoni kawaida, hilo linatosha.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (54) http://binothaimeen.net/content/1222
- Imechapishwa: 04/09/2019
Swali: Mgongoni mwangu kuna sehemu kiasi cha shibiri ambapo mkono wangu haufiki ili niweze kupaosha. Je, nifanya Tayammum wakati wa kuoga janaba?
Jibu: Ikiwa huwezi kupangusa basi unaweza kupamwagia maji sehemu hii na inatosha. Midhali utapamwagia maji kama vile unavyomwagia mgongoni kawaida, hilo linatosha.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (54) http://binothaimeen.net/content/1222
Imechapishwa: 04/09/2019
https://firqatunnajia.com/inatosha-kumwaga-maji-juu-ya-mgongo-wakati-wa-kuoga-janaba/