Swali: Mgongoni mwangu kuna sehemu kiasi cha shibiri ambapo mkono wangu haufiki ili niweze kupaosha. Je, nifanya Tayammum wakati wa kuoga janaba?
Jibu: Ikiwa huwezi kupangusa basi unaweza kupamwagia maji sehemu hii na inatosha. Midhali utapamwagia maji kama vile unavyomwagia mgongoni kawaida, hilo linatosha.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (54) http://binothaimeen.net/content/1222
- Imechapishwa: 04/09/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)