Jibu: Inafaa kwa mume kumwosha mke wake atapokufa kama ambavyo inafaa kwa mke kumwosha mume wake atapokufa. Imesimuliwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwambia ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa):
“Lau utakufa kabla yangu basi nitakuosha.”[1]
Vilevile Abu Bakr (Radhiya Allaahu ´anh) aliusia aoshwe na mke wake Asmaa´ bint Umays (Radhiya Allaahu ´anhaa).
[1] Ahmad (06/228) na Ibn Maajah (1465).
- Mhusika: Imaam Muhammad Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/211-212)
- Imechapishwa: 03/09/2021
Jibu: Inafaa kwa mume kumwosha mke wake atapokufa kama ambavyo inafaa kwa mke kumwosha mume wake atapokufa. Imesimuliwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwambia ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa):
“Lau utakufa kabla yangu basi nitakuosha.”[1]
Vilevile Abu Bakr (Radhiya Allaahu ´anh) aliusia aoshwe na mke wake Asmaa´ bint Umays (Radhiya Allaahu ´anhaa).
[1] Ahmad (06/228) na Ibn Maajah (1465).
Mhusika: Imaam Muhammad Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/211-212)
Imechapishwa: 03/09/2021
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kwa-wanandoa-kuoshana-wanapokufa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)