Swali: Inajuzu kwa ambaye anasafiri na ndege kutoka ar-Riyaadh kwenda Cairo kuacha kufunga Ramadhaan?
Jibu: Kuacha kufunga safarini ni mlango wa ruhusa, wepesi wa Allaah (Jalla wa ´Alaa) kwa waja wake na kuwaondoshea ule uzito wanaopata. Kuzitendea kazi ruhusa za Allaah ni jambo linapendwa na Allaah (Tabaaraka wa Ta´ala). Allaah anapenda ruhusa Zake zitendewa kazi kama anavyochukia kuendewa maasi. Kwa hivyo kwa mfano mtu anasafiri kuelekea Cairo katika Ramadhaan inafaa kwake kuacha kufunga. Endapo atafunga basi swawm yake ni sahihi.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/205)
- Imechapishwa: 06/06/2017
Swali: Inajuzu kwa ambaye anasafiri na ndege kutoka ar-Riyaadh kwenda Cairo kuacha kufunga Ramadhaan?
Jibu: Kuacha kufunga safarini ni mlango wa ruhusa, wepesi wa Allaah (Jalla wa ´Alaa) kwa waja wake na kuwaondoshea ule uzito wanaopata. Kuzitendea kazi ruhusa za Allaah ni jambo linapendwa na Allaah (Tabaaraka wa Ta´ala). Allaah anapenda ruhusa Zake zitendewa kazi kama anavyochukia kuendewa maasi. Kwa hivyo kwa mfano mtu anasafiri kuelekea Cairo katika Ramadhaan inafaa kwake kuacha kufunga. Endapo atafunga basi swawm yake ni sahihi.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/205)
Imechapishwa: 06/06/2017
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kwa-anayesafiri-1472-km-na-ndege-kuacha-kufunga-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)