Swali: Kuna mwanamke yuko na jini la kike na pindi lile jini la kike linapopigwa halitaki kutoka kwa yule mwanamke muislamu. Katika hali hii inajuzu kuliunguza na moto mpaka litoke kwa yule mwanamke muislamu?
Jibu: Ni haramu kabisa kulichoma moto. Kwa sababu hakuna mwenye kuadhibu kwa moto isipokuwa Allaah pekee.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (14/188)
- Imechapishwa: 24/08/2020
Swali: Kuna mwanamke yuko na jini la kike na pindi lile jini la kike linapopigwa halitaki kutoka kwa yule mwanamke muislamu. Katika hali hii inajuzu kuliunguza na moto mpaka litoke kwa yule mwanamke muislamu?
Jibu: Ni haramu kabisa kulichoma moto. Kwa sababu hakuna mwenye kuadhibu kwa moto isipokuwa Allaah pekee.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (14/188)
Imechapishwa: 24/08/2020
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kulichoma-jini-ili-litoke-kwa-mgonjwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)