Swali: Ikiwa kuna magonjwa ya kurithi kati ya mume na mke na madaktari wamependekeza kwamba ikiwa mtoto atazaliwa basi anaweza kuwa mgonjwa. Ni ipi hukumu ya kuzuia kizazi?
Jibu: Hapana vibaya [kuzaa]. Madaktari wanaweza kukosea na kupatia. Mtu asiwategemee madaktari.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23895/هل-يجوز-منع-الانجاب-بسبب-امراض-وراثية
- Imechapishwa: 28/05/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)