Swali: Ikiwa kuna magonjwa ya kurithi kati ya mume na mke na madaktari wamependekeza kwamba ikiwa mtoto atazaliwa basi anaweza kuwa mgonjwa. Ni ipi hukumu ya kuzuia kizazi?
Jibu: Hapana vibaya [kuzaa]. Madaktari wanaweza kukosea na kupatia. Mtu asiwategemee madaktari.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23895/هل-يجوز-منع-الانجاب-بسبب-امراض-وراثية
- Imechapishwa: 28/05/2024
Swali: Ikiwa kuna magonjwa ya kurithi kati ya mume na mke na madaktari wamependekeza kwamba ikiwa mtoto atazaliwa basi anaweza kuwa mgonjwa. Ni ipi hukumu ya kuzuia kizazi?
Jibu: Hapana vibaya [kuzaa]. Madaktari wanaweza kukosea na kupatia. Mtu asiwategemee madaktari.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23895/هل-يجوز-منع-الانجاب-بسبب-امراض-وراثية
Imechapishwa: 28/05/2024
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kukata-kizazi-kutokana-na-magonjwa-ya-kurithi/