Swali: Zakaat-ul-Fitwr ya mtu mmoja haijuzu kuigawanya bali anatakiwa kupewa mtu huyo huyo mmoja?
Jibu: Inajuzu kutoa Zakaat-ul-Fitwr ya mtu mmoja kumpa mtu mmoja kama ambavyo inajuzu vilevile kuigawanya kwa watu wengi.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/377)
- Imechapishwa: 23/06/2017
Swali: Zakaat-ul-Fitwr ya mtu mmoja haijuzu kuigawanya bali anatakiwa kupewa mtu huyo huyo mmoja?
Jibu: Inajuzu kutoa Zakaat-ul-Fitwr ya mtu mmoja kumpa mtu mmoja kama ambavyo inajuzu vilevile kuigawanya kwa watu wengi.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/377)
Imechapishwa: 23/06/2017
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kuigawanya-zakaat-ul-fitwr-ya-mtu-mmoja-kwa-watu-wengi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)