Swali: Zakaat-ul-Fitwr ya mtu mmoja haijuzu kuigawanya bali anatakiwa kupewa mtu huyo huyo mmoja?
Jibu: Inajuzu kutoa Zakaat-ul-Fitwr ya mtu mmoja kumpa mtu mmoja kama ambavyo inajuzu vilevile kuigawanya kwa watu wengi.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/377)
- Imechapishwa: 23/06/2017
Swali: Zakaat-ul-Fitwr ya mtu mmoja haijuzu kuigawanya bali anatakiwa kupewa mtu huyo huyo mmoja?
Jibu: Inajuzu kutoa Zakaat-ul-Fitwr ya mtu mmoja kumpa mtu mmoja kama ambavyo inajuzu vilevile kuigawanya kwa watu wengi.
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/377)
Imechapishwa: 23/06/2017
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kuigawanya-zakaat-ul-fitwr-ya-mtu-mmoja-kwa-watu-wengi/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket