Swali: Zakaat-ul-Fitwr ya mtu mmoja haijuzu kuigawanya bali anatakiwa kupewa mtu huyo huyo mmoja?
Jibu: Inajuzu kutoa Zakaat-ul-Fitwr ya mtu mmoja kumpa mtu mmoja kama ambavyo inajuzu vilevile kuigawanya kwa watu wengi.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/377)
- Imechapishwa: 23/06/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)