Swali 111: Ni ipi hukumu ya mwanamke mwenye hedhi kusoma Qur-aan?
Jibu: Inafaa kwake kusoma Qur-aan bila kizuizi chochote, ni mamoja anaogopa kuisahau au haogopi. Si sahihi kumlinganisha mwenye hedhi na mtu mwenye janaba; kuna tofauti kati yao.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 61
- Imechapishwa: 17/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 111: Ni ipi hukumu ya mwanamke mwenye hedhi kusoma Qur-aan?
Jibu: Inafaa kwake kusoma Qur-aan bila kizuizi chochote, ni mamoja anaogopa kuisahau au haogopi. Si sahihi kumlinganisha mwenye hedhi na mtu mwenye janaba; kuna tofauti kati yao.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 61
Imechapishwa: 17/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/inafaa-kwake-kusoma-qur-aan-bila-kizuizi-chochote/