Swali: Inafaa kwa baba au mama kumuosha mtoto wao anayekufa aliye chini ya miaka saba?
Jibu: Baba anaweza kumuogesha msichana wake akifa na yuko chini ya miaka saba. Mama anaweza kumuogesha mvulana wake akifa na yuko chini ya miaka saba. Ibraahiym, mvulana wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), alipokufa alioshwa na mwanamke18. ´Awrah chini ya miaka saba haina hukumu yoyote.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/85-86)
- Imechapishwa: 06/09/2021
Swali: Inafaa kwa baba au mama kumuosha mtoto wao anayekufa aliye chini ya miaka saba?
Jibu: Baba anaweza kumuogesha msichana wake akifa na yuko chini ya miaka saba. Mama anaweza kumuogesha mvulana wake akifa na yuko chini ya miaka saba. Ibraahiym, mvulana wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), alipokufa alioshwa na mwanamke18. ´Awrah chini ya miaka saba haina hukumu yoyote.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/85-86)
Imechapishwa: 06/09/2021
https://firqatunnajia.com/inafaa-kwa-mwanaume-kumuosha-msichana-na-mwanamke-kumuosha-mvulana/