Swali: Je, kila mgonjwa imeruhusiwa kwake kukusanya kati ya swalah mbili?
Jibu: Ikiwa ana uzito wa kuswali kila swalah kwa wakati wake. Katika hali hii inafaa kwake kukusanya.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
- Imechapishwa: 28/09/2018
Swali: Je, kila mgonjwa imeruhusiwa kwake kukusanya kati ya swalah mbili?
Jibu: Ikiwa ana uzito wa kuswali kila swalah kwa wakati wake. Katika hali hii inafaa kwake kukusanya.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
Imechapishwa: 28/09/2018
https://firqatunnajia.com/inafaa-kwa-kila-mgonjwa-kukusanya-kati-ya-swalah-mbili/