Swali: Ni ipi hukumu ya kuadhini kwenye sikio la maiti na kumlakinia “Laa ilaaha Allaah” na kumwambia atayowajibu Malaika wawili baada ya kuzikwa?
Jibu: Kutoa adhaana kwenye sikio la maiti ni Bid´ah. Kumlanikia shahaadah ni jambo limeamrishwa na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Kuhusu kumwambia majibu atayowajibu Malaika wawili baada ya kuzikwa ni jambo limepokelewa katika Hadiyth. Lakini hata hivyo ni Hadiyth dhaifu isiyotakiwa kutegemewa.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/73-74)
- Imechapishwa: 17/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kuadhini kwenye sikio la maiti na kumlakinia “Laa ilaaha Allaah” na kumwambia atayowajibu Malaika wawili baada ya kuzikwa?
Jibu: Kutoa adhaana kwenye sikio la maiti ni Bid´ah. Kumlanikia shahaadah ni jambo limeamrishwa na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Kuhusu kumwambia majibu atayowajibu Malaika wawili baada ya kuzikwa ni jambo limepokelewa katika Hadiyth. Lakini hata hivyo ni Hadiyth dhaifu isiyotakiwa kutegemewa.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/73-74)
Imechapishwa: 17/06/2017
https://firqatunnajia.com/inafaa-kutoa-adhaana-kwenye-sikio-la-maiti/