Swali: Ni ipi hukumu ya kuadhini kwenye sikio la maiti na kumlakinia “Laa ilaaha Allaah” na kumwambia atayowajibu Malaika wawili baada ya kuzikwa?
Jibu: Kutoa adhaana kwenye sikio la maiti ni Bid´ah. Kumlanikia shahaadah ni jambo limeamrishwa na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Kuhusu kumwambia majibu atayowajibu Malaika wawili baada ya kuzikwa ni jambo limepokelewa katika Hadiyth. Lakini hata hivyo ni Hadiyth dhaifu isiyotakiwa kutegemewa.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/73-74)
- Imechapishwa: 17/06/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)