Swali: Je, inajuzu kwa mwanamume kumwingilia mke wake baada ya ndoa na kabla hajampa mahari?
Jibu: Ikiwa ndoa imetimia, basi hakuna ubaya hata kama mahari yamecheleweshwa. Ikiwa ndoa imetekelezwa baina yao, basi amehalalika kwake hata kama mahari yamecheleweshwa kwa miaka. Muhimu ni ndoa. Ikiwa ndoa imetekelezwa kwa masharti yake yanayozingatiwa na ikawa ni ndoa sahihi, basi inahalalika kwake hata kama mahari yamecheleweshwa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1271/حكم-الدخول-على-المراة-بعد-العقد-وقبل-اعطاىها-الصداق
- Imechapishwa: 14/02/2026
Swali: Je, inajuzu kwa mwanamume kumwingilia mke wake baada ya ndoa na kabla hajampa mahari?
Jibu: Ikiwa ndoa imetimia, basi hakuna ubaya hata kama mahari yamecheleweshwa. Ikiwa ndoa imetekelezwa baina yao, basi amehalalika kwake hata kama mahari yamecheleweshwa kwa miaka. Muhimu ni ndoa. Ikiwa ndoa imetekelezwa kwa masharti yake yanayozingatiwa na ikawa ni ndoa sahihi, basi inahalalika kwake hata kama mahari yamecheleweshwa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1271/حكم-الدخول-على-المراة-بعد-العقد-وقبل-اعطاىها-الصداق
Imechapishwa: 14/02/2026
https://firqatunnajia.com/inafaa-kumjamii-mke-wangu-baada-ya-ndoa-kabla-ya-kumpa-mahari/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket