Swali: Je, inafaa kukaa I´tikaaf katika wakati wowote mbali na lile kumi la mwisho la Ramadhaan?
Jibu: Ndio, inafaa kukaa I´tikaaf katika wakati wowote. Wakati wake bora zaidi ni katika zile siku kumi za mwisho za Ramadhaan kwa ajili ya kumwigiliza Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Maswahabah zake (Radhiya Allaahu ´anhum). Imethibiti kutoka kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuwa aliikaa I´tikaaf katika Shawwaal katika baadhi ya miaka.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
´Abdullaah bin Qu´uud
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (10/410) nr. (3810)
- Imechapishwa: 23/04/2022
Swali: Je, inafaa kukaa I´tikaaf katika wakati wowote mbali na lile kumi la mwisho la Ramadhaan?
Jibu: Ndio, inafaa kukaa I´tikaaf katika wakati wowote. Wakati wake bora zaidi ni katika zile siku kumi za mwisho za Ramadhaan kwa ajili ya kumwigiliza Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Maswahabah zake (Radhiya Allaahu ´anhum). Imethibiti kutoka kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuwa aliikaa I´tikaaf katika Shawwaal katika baadhi ya miaka.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
´Abdullaah bin Qu´uud
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (10/410) nr. (3810)
Imechapishwa: 23/04/2022
https://firqatunnajia.com/inafaa-kukaa-itikaaf-mbali-na-kumi-la-mwisho-la-ramadhaan/