Swali: Vipi ikiwa kichinjwa cha Hadiy ya Tamattu´ katika Minaa kuna msongamano na mtu akatoka hadi Muzdalifah na kuchinja?
Jibu: Eneo lote la Haram linaruhusiwa kuchinja. Minaa ni bora zaidi. Hapana vibaya ikiwa mtu atachinja Makkah au Muzdalifah. Jambo lenye wasaa. Iwapo mtu ataingia Makkah na kuchinja ndani ya Makkah ni vyema. Jambo lenye wasaa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25042/هل-يجوز-ذبح-هدي-التمتع-في-مزدلفة
- Imechapishwa: 26/01/2025
Swali: Vipi ikiwa kichinjwa cha Hadiy ya Tamattu´ katika Minaa kuna msongamano na mtu akatoka hadi Muzdalifah na kuchinja?
Jibu: Eneo lote la Haram linaruhusiwa kuchinja. Minaa ni bora zaidi. Hapana vibaya ikiwa mtu atachinja Makkah au Muzdalifah. Jambo lenye wasaa. Iwapo mtu ataingia Makkah na kuchinja ndani ya Makkah ni vyema. Jambo lenye wasaa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25042/هل-يجوز-ذبح-هدي-التمتع-في-مزدلفة
Imechapishwa: 26/01/2025
https://firqatunnajia.com/inafaa-kuchinja-hadiy-ya-tamattu-muzdalifah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)