Swali: Ikiwa siku ina mvua na baridi kali, je, inaruhusiwa kukusanya swalah ya Dhuhr na ´Aswr pamoja (katika wakati wa ´Aswr)?
Jibu: Ikiwa kuna mvua inayowaletea watu uzito au kuna utelezi na matope katika njia, basi hakuna ubaya kukusanya kati ya swalah ya Dhuhr na ´Aswr, na kati ya Maghrib na ´Ishaa. Hii ni kwa sababu Sunnah na masimulizi sahihi kutoka kwa Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) zimekuja zikithibitisha jambo hilo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/224)
- Imechapishwa: 16/03/2026
Swali: Ikiwa siku ina mvua na baridi kali, je, inaruhusiwa kukusanya swalah ya Dhuhr na ´Aswr pamoja (katika wakati wa ´Aswr)?
Jibu: Ikiwa kuna mvua inayowaletea watu uzito au kuna utelezi na matope katika njia, basi hakuna ubaya kukusanya kati ya swalah ya Dhuhr na ´Aswr, na kati ya Maghrib na ´Ishaa. Hii ni kwa sababu Sunnah na masimulizi sahihi kutoka kwa Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) zimekuja zikithibitisha jambo hilo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/224)
Imechapishwa: 16/03/2026
https://firqatunnajia.com/imesihi-kukusanya-swalah-wakati-wa-mvua-kali/