Swali: Nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Imenibainikia baadaye ya kwamba mke wangu haswali. Je, ni lazima kumtaliki?

Jibu: Ikiwa wakati alipomuoa haswali, ndoa si sahihi. Hata hivyo ni lazima kurejesha suala hili kwa Qaadhiy. Mikataba na ahadi zinarejeshwa mahakamani. Zinatakiwa kukaguliwa.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
  • Imechapishwa: 14/06/2024