Swali: Nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Imenibainikia baadaye ya kwamba mke wangu haswali. Je, ni lazima kumtaliki?
Jibu: Ikiwa wakati alipomuoa haswali, ndoa si sahihi. Hata hivyo ni lazima kurejesha suala hili kwa Qaadhiy. Mikataba na ahadi zinarejeshwa mahakamani. Zinatakiwa kukaguliwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 14/06/2024
Swali: Nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Imenibainikia baadaye ya kwamba mke wangu haswali. Je, ni lazima kumtaliki?
Jibu: Ikiwa wakati alipomuoa haswali, ndoa si sahihi. Hata hivyo ni lazima kurejesha suala hili kwa Qaadhiy. Mikataba na ahadi zinarejeshwa mahakamani. Zinatakiwa kukaguliwa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
Imechapishwa: 14/06/2024
https://firqatunnajia.com/imebaini-kuwa-mke-haswali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
