Swali: Tumewasikia baadhi ya wanafunzi wakisema kuwa ni bora mtu kutosema pindi anapotunga vitabu:
“Imeandikwa na fakiri wa Allaah fulani.”
Hoja yao ni kwamba huku ni kujifananisha na Suufiyyah. Maneno haya ni sahihi?
Jibu: Hapana, si sahihi. Huku ni mtu kukiri uhitaji wake kwa Allaah (´Azza wa Jall). Unataka aandike:
“Imeandikwa na walii wa Allaah fulani”?
Hapana. Huku ni mtu kukiri ufakiri wake na ni kunyenyekea.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
- Imechapishwa: 21/01/2017
Swali: Tumewasikia baadhi ya wanafunzi wakisema kuwa ni bora mtu kutosema pindi anapotunga vitabu:
“Imeandikwa na fakiri wa Allaah fulani.”
Hoja yao ni kwamba huku ni kujifananisha na Suufiyyah. Maneno haya ni sahihi?
Jibu: Hapana, si sahihi. Huku ni mtu kukiri uhitaji wake kwa Allaah (´Azza wa Jall). Unataka aandike:
“Imeandikwa na walii wa Allaah fulani”?
Hapana. Huku ni mtu kukiri ufakiri wake na ni kunyenyekea.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
Imechapishwa: 21/01/2017
https://firqatunnajia.com/imeandikwa-na-fakiri-fulani/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket