Swali: Inafaa kwa imamu kuwaamrisha maamuma kurudia kuswali tena pale anapofika na kuwakuta wameshaswali?
Jibu: Haijuzu kwake, haijuzu kwake. Ni vipi atawaamrisha kuswali tena? Hata hivyo wanatakiwa wasimtangulie mbele mpaka pale ambapo utapita ule muda ambao wamemzowea yeye kufika.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24088/هل-للامام-الراتب-المتاخر-الامر-باعادة-الصلاة
- Imechapishwa: 25/08/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)