Swali: Inafaa kwa imamu kuwaamrisha maamuma kurudia kuswali tena pale anapofika na kuwakuta wameshaswali?
Jibu: Haijuzu kwake, haijuzu kwake. Ni vipi atawaamrisha kuswali tena? Hata hivyo wanatakiwa wasimtangulie mbele mpaka pale ambapo utapita ule muda ambao wamemzowea yeye kufika.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24088/هل-للامام-الراتب-المتاخر-الامر-باعادة-الصلاة
- Imechapishwa: 25/08/2024
Swali: Inafaa kwa imamu kuwaamrisha maamuma kurudia kuswali tena pale anapofika na kuwakuta wameshaswali?
Jibu: Haijuzu kwake, haijuzu kwake. Ni vipi atawaamrisha kuswali tena? Hata hivyo wanatakiwa wasimtangulie mbele mpaka pale ambapo utapita ule muda ambao wamemzowea yeye kufika.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24088/هل-للامام-الراتب-المتاخر-الامر-باعادة-الصلاة
Imechapishwa: 25/08/2024
https://firqatunnajia.com/imamu-rasmi-anawaamrisha-waswaliji-waswali-tena/