Imamu kutoleta Sujuud-ut-Tilaawah

Swali: Mimi ni Imamu wa Msikiti na inatokea mara nyingi ninapitia Aayah ambazo zina Sajda ila sisujudu wakati wa Swalah. Je, juu yangu kuna kitu kwa hilo?

Jibu: Hapana. Sujuud-ut-Tilaawah ni Sunnah. Ukiiacha huna juu yako kitu.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mntq–14340427.mp3
  • Imechapishwa: 19/09/2020