Swali: Mimi ni Imamu wa Msikiti na inatokea mara nyingi ninapitia Aayah ambazo zina Sajda ila sisujudu wakati wa Swalah. Je, juu yangu kuna kitu kwa hilo?
Jibu: Hapana. Sujuud-ut-Tilaawah ni Sunnah. Ukiiacha huna juu yako kitu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mntq–14340427.mp3
- Imechapishwa: 19/09/2020
Swali: Mimi ni Imamu wa Msikiti na inatokea mara nyingi ninapitia Aayah ambazo zina Sajda ila sisujudu wakati wa Swalah. Je, juu yangu kuna kitu kwa hilo?
Jibu: Hapana. Sujuud-ut-Tilaawah ni Sunnah. Ukiiacha huna juu yako kitu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mntq–14340427.mp3
Imechapishwa: 19/09/2020
https://firqatunnajia.com/imamu-kutoleta-sujuud-ut-tilaawah/