Swali: Inajuzu kwa imamu kusoma Basmalah kwa sauti ya juu kabla ya kusoma al-Faatihah?
Jibu: Inategemea na madhehebu wanayofuata nchi anayoishi ndani yake. Ikiwa watu wa nchi wanafuata madhehebu ambayo hawasomi Basmalah kwa sauti ya juu, basi asisomi kwa sauti ya juu ili asije kuwachanganya watu. Ama akiwa katika nchi ambayo wanafuata madhehebu yanayosoma Basmalah kwa sauti ya juu, afanye hivo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (49) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/m-3%20%20-%2012%20-%202%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 14/10/2018
Swali: Inajuzu kwa imamu kusoma Basmalah kwa sauti ya juu kabla ya kusoma al-Faatihah?
Jibu: Inategemea na madhehebu wanayofuata nchi anayoishi ndani yake. Ikiwa watu wa nchi wanafuata madhehebu ambayo hawasomi Basmalah kwa sauti ya juu, basi asisomi kwa sauti ya juu ili asije kuwachanganya watu. Ama akiwa katika nchi ambayo wanafuata madhehebu yanayosoma Basmalah kwa sauti ya juu, afanye hivo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (49) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/m-3%20%20-%2012%20-%202%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 14/10/2018
https://firqatunnajia.com/imamu-asome-basmalah-kwa-sauti-ya-juu-kabla-ya-al-faatihah/