Swali: Imamu anasoma Qunuut katika kila swalah ya alfajiri. Mimi naonelea kuwa kitendo hichi ni Bid´ah. Ni lipi la wajibu kwangu? Je, niswali pamoja naye?
Jibu: Ndio, swali pamoja naye. Swali pamoja naye na mfuate. Qunuut ni du´aa. Haya ni madhehebu yake. Fuata madhehebu yake inapokuja katika suala hili.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (71) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah26-07-1438h%20-%20Copy.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2017
Swali: Imamu anasoma Qunuut katika kila swalah ya alfajiri. Mimi naonelea kuwa kitendo hichi ni Bid´ah. Ni lipi la wajibu kwangu? Je, niswali pamoja naye?
Jibu: Ndio, swali pamoja naye. Swali pamoja naye na mfuate. Qunuut ni du´aa. Haya ni madhehebu yake. Fuata madhehebu yake inapokuja katika suala hili.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (71) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah26-07-1438h%20-%20Copy.mp3
Imechapishwa: 19/08/2017
https://firqatunnajia.com/imamu-anasoma-qunuut-katika-kila-fajr/