2- Inapelekea katika mapenzi na tamaa.
3- Inapelekea moyo kushughulishwa na suala hili ambalo linakwenda kinyume na uongofu wa Salaf (Radhiya Allaahu ´anhum).
Kwa hivyo haijuzu kuzusha sherehe yoyote siku hii, sawa ikiwa inahusiana na chakula, kinywaji, nguo, zawadi au mfano wa hayo.
Muislamu anatakiwa kuwa na nguvu katika Dini yake na asiwe ni mwenye kufuata kila kitu na watu wote.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (16/199)
- Imechapishwa: 14/02/2017
Swali: Hivi karibuni sherehe ya Siku ya wapendanao imeenea na khaswa baina ya wanafunzi wa kike. Ni sikukuu ya kinaswara. Watu wanavaa nguo nyekundu na wanapeana mauwa mekundu (roses). Tunataraji kwamba unaweza kutubanishia hukumu ya sikukuu hii na kuwapa Waislamu nasaha.
Jibu: Haijuzu kusherehekea siku ya wapendanao kutokana na sababu zifuatazo:
1- Ni sikukuu iliyozushwa ambayo haina msingi wowote katika Shari´ah.
2- Inapelekea katika mapenzi na tamaa.
3- Inapelekea moyo kushughulishwa na suala hili ambalo linakwenda kinyume na uongofu wa Salaf (Radhiya Allaahu ´anhum).
Kwa hivyo haijuzu kuzusha sherehe yoyote siku hii, sawa ikiwa inahusiana na chakula, kinywaji, nguo, zawadi au mfano wa hayo.
Muislamu anatakiwa kuwa na nguvu katika Dini yake na asiwe ni mwenye kufuata kila kitu na watu wote.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (16/199)
Imechapishwa: 14/02/2017
https://firqatunnajia.com/imaam-ibn-uthaymiyn-kuhusu-siku-ya-wapendanao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)