Swali: Imethibiti katika Sunnah ya Mtume kufunga mwezi wa Muharram wote?
Jibu: Ndio. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swawm bora baada ya Ramadhaan ni mwezi wa Muharram.”
Mtu akifunga wote ni sawa. Hili ni jambo zuri. Hili linahusiana tu na mwezi wa Muharram.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_11.mp3
- Imechapishwa: 21/06/2018
Swali: Imethibiti katika Sunnah ya Mtume kufunga mwezi wa Muharram wote?
Jibu: Ndio. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swawm bora baada ya Ramadhaan ni mwezi wa Muharram.”
Mtu akifunga wote ni sawa. Hili ni jambo zuri. Hili linahusiana tu na mwezi wa Muharram.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_11.mp3
Imechapishwa: 21/06/2018
https://firqatunnajia.com/imaam-al-fawzaan-kuhusu-kufunga-muharram-yote/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)