Ikiwa Ibn Abiy Du-aad na wengineo walishindwa kuwasilisha dalili kutoka ndani ya Qur-aan na Sunnah kumpa al-Mu´taswim – ambaye alikuwa ndiye khaliyfah wa `Abbaasiy – ili ampe Imaam Ahmad bin Hanbal katika ule mjadala, matokeo yake wakageukia kutumia nguvu na ukatili. Basi atapata wapi al-Khaliyliy – ambaye anachochea fitina upya ili kutenganisha umoja wa ummah – dalili kutoka katika ndnai ya Quur-aan na Sunnah juu ya Bid´ah hii ya kusema kuwa ”Qur-aan imeumbwa”?
- Muhusika: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ar-Radd al-Qawiym, uk. 354
- Imechapishwa: 11/09/2026
Ikiwa Ibn Abiy Du-aad na wengineo walishindwa kuwasilisha dalili kutoka ndani ya Qur-aan na Sunnah kumpa al-Mu´taswim – ambaye alikuwa ndiye khaliyfah wa `Abbaasiy – ili ampe Imaam Ahmad bin Hanbal katika ule mjadala, matokeo yake wakageukia kutumia nguvu na ukatili. Basi atapata wapi al-Khaliyliy – ambaye anachochea fitina upya ili kutenganisha umoja wa ummah – dalili kutoka katika ndnai ya Quur-aan na Sunnah juu ya Bid´ah hii ya kusema kuwa ”Qur-aan imeumbwa”?
Muhusika: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: ar-Radd al-Qawiym, uk. 354
Imechapishwa: 11/09/2026
https://firqatunnajia.com/ikiwa-walishindwa-mababu-zako-utaweza-wewe/