Swali: Vipi kuhusu kutokuwa na uhakika katika nia kwa mfano wa mtu kusema:
“Ikiwa kesho ni Ramadhaan basi [swawm yangu] ni ya faradhi, na ikiwa siyo basi [swawm yangu] ni ya Sunnah”?
Jibu: Haisihi, hakuweka nia thabiti.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 126
- Imechapishwa: 04/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali: Vipi kuhusu kutokuwa na uhakika katika nia kwa mfano wa mtu kusema:
“Ikiwa kesho ni Ramadhaan basi [swawm yangu] ni ya faradhi, na ikiwa siyo basi [swawm yangu] ni ya Sunnah”?
Jibu: Haisihi, hakuweka nia thabiti.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 126
Imechapishwa: 04/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/ikiwa-kesho-ni-ramadhaan-swawm-yangu-ni-ya-faradhi/