Ijumaa ndio siku pekee anayoweza kufunga

Swali: Mtu ana deni la kufunga na hawezi kulilipa isipokuwa tu siku ya ijumaa?

Jibu: Ni bora kuepuka kutokana na ujumla. Lakini ni sawa akifanya, kwa sababu Hadiyth inaelezea kuhusu kuihusisha na swawm ya kujitolea.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 127
  • Imechapishwa: 04/03/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´