Swali: Ni ipi hukumu kwa wanaume kupiga dufu?
Jibu: Sisi hivi sasa tunawazungumzisha wanawake namna ambavyo wanapindukia mpaka katika kupiga dufu. Ni vipi ikiwa tutawajuzishia wanaume?
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (11)
- Imechapishwa: 03/05/2020
Swali: Ni ipi hukumu kwa wanaume kupiga dufu?
Jibu: Sisi hivi sasa tunawazungumzisha wanawake namna ambavyo wanapindukia mpaka katika kupiga dufu. Ni vipi ikiwa tutawajuzishia wanaume?
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (11)
Imechapishwa: 03/05/2020
https://firqatunnajia.com/ibn-uthaymiyn-wanaume-kupiga-dufu-%e2%80%82%e2%80%82%e2%80%82/