Swali: Ni ipi hukumu ya msemo “Ee al-Hajj” na “bwana fulani”?
Jibu: Kusema “ee al-Hajj” bi maana akikusudia amekwishatekeleza hajj hakuna neno.
Kuhusu tamko bwana kunatakiwa kutazamwe ikiwa kweli anastahiki wasfu huu pasi na kuweka أل hakuna neno kwa sharti asiwe ni mtenda madhambi mazito wala kafiri. Akiwa ni mtenda madhambi mazito au kafiri basi hapo itakuwa haijuzu kumpachika neno ´bwana` isipokuwa aegemezewe watu wake. Kwa mfano bwana wa wana fulani au bwana wa vijana fulani.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (03/97)
- Imechapishwa: 06/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya msemo “Ee al-Hajj” na “bwana fulani”?
Jibu: Kusema “ee al-Hajj” bi maana akikusudia amekwishatekeleza hajj hakuna neno.
Kuhusu tamko bwana kunatakiwa kutazamwe ikiwa kweli anastahiki wasfu huu pasi na kuweka أل hakuna neno kwa sharti asiwe ni mtenda madhambi mazito wala kafiri. Akiwa ni mtenda madhambi mazito au kafiri basi hapo itakuwa haijuzu kumpachika neno ´bwana` isipokuwa aegemezewe watu wake. Kwa mfano bwana wa wana fulani au bwana wa vijana fulani.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (03/97)
Imechapishwa: 06/06/2017
https://firqatunnajia.com/ibn-uthaymiyn-kuhusu-watu-kuitana-al-hajj-fulani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)