Ni haramu kwa mtu kuchagua majina ambayo ni maalum kwa makafiri. Mfano wa majina hayo ni kama George na mengineyo katika majina ambayo makafiri wanajiita nayo. Hili ni kwa njia ya kujifananisha nao. Mtume (Swalla Allahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yeyote mwenye kujifananisha na watu, basi yeye ni katika wao.”[1]
[1]Abu Daawuud (4031)
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (01/265)
- Imechapishwa: 15/03/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)