Swali: Ni ipi hukumu ya kumpa msichana wake jina la “Iymaan”?
Jibu: Haijuzu. Kwa kuwa ni aina ya kujisifu.
Swali: Je, anatakiwa kubadili jina lake ikiwa anaitwa hivyo?
Jibu: Ndio, anatakiwa kulibadili.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Liqaa’aatiy ma’a ash-Shaykhayn Maswali yameulizwa na ´Abdullaah at-Tayyaar (2/145)
- Imechapishwa: 06/10/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)