14 – Nilimuuliza kuhusu Hadiyth ya Rabiy´ah bin Ka´b al-Aslamiy na ndani imekuja:
”Nakuomba niwe pamoja nawe Peponi.”
Je, mwamuzi wa hili si ni Allaah na si Mtume?
Jibu: Anamuuliza kuhusu sababu za kuwa pamoja naye na kwamba amwombee du´aa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 34
- Imechapishwa: 24/07/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
14 – Nilimuuliza kuhusu Hadiyth ya Rabiy´ah bin Ka´b al-Aslamiy na ndani imekuja:
”Nakuomba niwe pamoja nawe Peponi.”
Je, mwamuzi wa hili si ni Allaah na si Mtume?
Jibu: Anamuuliza kuhusu sababu za kuwa pamoja naye na kwamba amwombee du´aa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 34
Imechapishwa: 24/07/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/ibn-kab-akiomba-kuwa-pamoja-na-mtume-peponi/