Swali 429: Vipi kuhusu kufanya Twawaaf wakati wa Khutbah?
Jibu: Aikatishe Twawaaf, kisha asikilize Khutbah.
430 – Kisha Shaykh akaulizwa kuhusu anayetufu na hana swalah ya ijumaa?
Jibu: Pengine ikasemwa kwamba anawasumbua waliopo pale. Kikosi cha wanzuoni wamesema kuwa msafiri akikutwa na swalah ya ijumaa basi inamlazimu. Katika hali hiyo anyamaze na atufu baada ya swalah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 140
- Imechapishwa: 28/08/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 429: Vipi kuhusu kufanya Twawaaf wakati wa Khutbah?
Jibu: Aikatishe Twawaaf, kisha asikilize Khutbah.
430 – Kisha Shaykh akaulizwa kuhusu anayetufu na hana swalah ya ijumaa?
Jibu: Pengine ikasemwa kwamba anawasumbua waliopo pale. Kikosi cha wanzuoni wamesema kuwa msafiri akikutwa na swalah ya ijumaa basi inamlazimu. Katika hali hiyo anyamaze na atufu baada ya swalah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 140
Imechapishwa: 28/08/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-twawaaf-wakati-wa-khutbah-ii/